HEBU msomaji cheki jinsi wenzetu wa Ulaya
wanavyofanya mambo yao ya kiufundi kistaili!
Jumatano, 7 Agosti 2013
HABARI KWANZA:Kajara masanja na wema sepetu wamekwenda kumtembelea papi kocha nakutoa machozi katika gereza la ukonga jijini daresalaam kwa mujibu wa chanzo chetu mara baada ya mastar hao kufika na kuonana na papi kocha ambaya anatumikiaa kifungo cha maisha sambamba na babake Nguza Viking'Babu seya' inadaiwa papi aliangua kilio cha nguvu.Sasa nimeamini kweli kajara amejifunza mengi kutoka mahabusu
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni